|
|
|
|
Zao la mahindi: Mbali na umaarufu wa mkoa wa Tabora katika
zao la Tumbaku, Chuo cha kilimo Tumbi kinajihusisha pia na utoaji elimu ya zao
la mahindi ikiwa ni sehemu ya masomo kwa wanafunzi. Pichani ni matokeo ya
mafunzo kwa nadharia katika uzalishaji wa mahindi na picha zimechukuliwa
ikiwa ni kipindi cha mavuno.
|