Tuesday, March 26, 2019

MSIMU WA MAVUNO: Uvunaji wa mahindi ukiendelea katika moja ya shamba la chuo

Zao la mahindi: Mbali na umaarufu wa mkoa wa Tabora katika zao la Tumbaku, Chuo cha kilimo Tumbi kinajihusisha pia na utoaji elimu ya zao la mahindi ikiwa ni sehemu ya masomo kwa wanafunzi. Pichani ni matokeo ya mafunzo kwa nadharia katika uzalishaji wa mahindi na picha zimechukuliwa ikiwa ni kipindi cha mavuno.