Monday, March 25, 2019

MAHINDI: KILIMO CHA ZAO LA BIASHARA





Moja ya mazao ambayo katika chuo mati tumbi wanazalisaha ni pamoja zao la biashara ni mahindi katika mkoa wa tabora tumezalisha idadi kubwa ya mahindi kumeweza kutumia aina ya mbegu ya dk 90-89 ambayo inachukua siku 100 kwa ajili ya kuvunwa.