Tangaza la Maombi ya kujiunga na Chuo cha Kilimo Mati-Tumbi kwa mwaka wa masomo 25/26 Kwa kozi za Astashahada na Stashahada ya Kilimo (Agriculture Production). Vigezo ni ufaulu wa D nne zikiwemo mbili za sayansi kama Jografia, kemia, fizikia, Baiolojia, hesabu, sayansi ya kilimo nk. Wenye sifa hizo mnaombwa kupakua fomu katika link https://drive.google.com/.../1lFYVX1fi7MJV9Zqa.../view...
Fomu ijazwe na kutumwa kwa anuani (Mkuu wa chuo cha Kilimo Tumbi S.L.P 306 Tabora au kwa whatsapp namba zilizoorodheshwa kwenye fomu.
Karibuni saana..........
Mwisho wa kutuma maombi ni 22/09/2025
Awamu ya kwanza ya waliochaguliwa, watajulishwa kuanzia 14/08/2025
Awamu ya pili yatatoka 29/10/2025